fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Tangia nianze kusoma matangazo ya nyumba na viwanja ndo naona bei ya chini sana, please mwandishi rudi tena ukajisahihishe maana haiwezekani ikawa bei Tsh, 42,000,000 labda kama umesahau ukaweka Tsh badala ya USD
Wewe ni mpuuzi, bei ya chini si ukalipie uchukue house??? kimsingi unataka kumharibia wanunuzi harafu akose mwana na maji ya moto