mbona kimya jamvini au maada imepitwa na wakatiWanajamii nilikua nasema kwa mfano kuanzia leo wanaume wakasema nyumba ndogo basi tunabaki na wake zetu tuu.itakuaje? Nikafikiria itakua ni kilio cha kusaga meno kwa wanawake kwa maana kazi itakua ngumu sana.
Au wadau mnasemaje kwa hili?