nitake radhi fidel, mi si kimbaumbau wewe, mama na baba hapa walifanya shughuli ya ziada
hahahahahahahahah!Hahaha! Najaribu kupiga picha ukiwa ndani ya bajaji. Ni-PM kama utahudhuria basi hiyo sande!
kama kawaida, naendelea kujifanya counselor wa kujitegemea.Wazima kbsa wanakusalimu sana. Naona leo unasaidia kuimarisha ndoa ya mshikaji wako.
nitake radhi fidel, mi si kimbaumbau wewe, mama na baba hapa walifanya shughuli ya ziada
Yani imebidi umalizie kwa kusisitiza mwaliko ili tu uone nilivyo wide load? bajaji sipandi maana naweza kusababisha ajali maana uzito wangu bajaji haiumudu. haaaHahaha! Najaribu kupiga picha ukiwa ndani ya bajaji. Ni-PM kama utahudhuria basi hiyo sande!
Yani imebidi umalizie kwa kusisitiza mwaliko ili tu uone nilivyo wide load? bajaji sipandi maana naweza kusababisha ajali maana uzito wangu bajaji haiumudu. haaa
mimi kazi yangu ni KUOMBA NA KUSHUKURU KATIKA JINA LA YULE ALIYE JUU!pembeni ama kawaida shemeji yangu zd..!kama kawaida, naendelea kujifanya counselor wa kujitegemea.
Hivi mnadhani tukianzisha councelling center ya marriages hatutafanikiwa?
maana kuna wachungaji kama kina xpin, wanamaombi kama kina ZD na Geof, waliocharuka kama kina nyamayao, wenye busara kama nguli na mwanajamii, na wapole kama FL. center itatisha jamani ama?
ndio ninazo. lakini hata kama ninazo there is no entry.
Exactly, sasa umekubali kwamba mimi si kimbaumbau?
Exactly, sasa umekubali kwamba mimi si kimbaumbau?
Thanks Mayolela. Si kweli kwamba huyu mama ana tabia mbaya,. si kweli. wenye tabia mbaya tunawajua but this is a sopecial case, yani kusema ukweli kati ya wanawake wenye tabia nzuri, heshima, na kila ukipendacho kwa mwanamke huyu yumo, na hata katika age yote aliyonayo fourty something, you wouldnt know kama ameenda age, she is pretty at her age, basi tu huyu jamaa hajui alichonacho, alitakiwa aoe mtu kama mrs Mtaba hivi ndo wangeenda sawa.Kwa upande mwingine wakina mama nao wana matatizo sana.Inawezekana huyu mama ni mkorofi kiasi cha mume wake ili kuondoa kero,inanabidi ashinde casino,na kukaa casino lazima apate mwanamke mwingine mwindaji kwani wako wengi.
Lakini suluhu ya yote hayo ni kumrudia Mungu wetu na kumtumikia.
sasa kama ni ya kufa mtu mbona tena una mashaka na mimi kumaliza? aah acha uchoyo fidel, mimi mwenyewe nakula kilo moja ya kiti moto namaliza. so msinibanie.Hahahaha ila kwakula inabidi sande usije utamaliza msosi wote wewe manyama nyama tuliyo agiza pale maana tumefanya booking ya kufa mtu.
hapo juu mnatupotezea mtiririko wa thread jamani
sasa kama ni ya kufa mtu mbona tena una mashaka na mimi kumaliza? aah acha uchoyo fidel, mimi mwenyewe nakula kilo moja ya kiti moto namaliza. so msinibanie.