Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
hahahahhaa,MJI acha hasira bwana!.unataka kuniambia huyo mume kabadilika ukubwani? wengi wanakuwa na tabia hizo toka wakiwa bado wachumba lakini yale mambo ya love is blind ndio tatizo.Mtu anakubali kuingia kwenye ndoa akidhani anaweza kumbadilisha mtu lakini yanamshinda,sasa hapo inabidi avumilie tu.
mkiwa uchumbani hakuna anaeonyesha makucha yake kihivi, mkiingia ndani ndio ngoma inaanzia hapo, utayaona ucyoyatarajia...kama mtu alishaona matatizo kwa mchumba wake then akaingia kwenye ndoa kwa kusema nitambadilisha huyo hayupo sahihi, watu hawabadilishiki tabia kirahc, lakini kwa upande wa huyu mama hatujui aliingiaje kwenye ndoa kwa mpango wa kumbadilisha au kwa mapenzi matamu/makamilifu.