Nyumba na eneo lake vinauzwa

Kariba1

Member
Aug 20, 2012
75
4
Habari wana JF! nyumba inauzwa ipo kiluvya gogoni kibaha, nyumba bado haijakamilika imebaki kupauliwa ina eneo la ukubwa wa nusu heka umbali kutoka kituo cha gogoni ni km 1, kwenye eneo la nyumba kuna michungwa 10 na migomba mingi eneo limezungushiwa fensi ya seng'eng'e nyumba imedizainiwa kisasa ina store, jiko, vyumba 3 master1 kubwa, diningroom, public toilet na bathroom, sebule kubwa maji na umeme vipo, gari linafika mpaka kwenye eneo bei ml 30 maongezi yapo contact 0714 107 215 au0714104788
 

Attachments

  • 20082012_002.jpg
    20082012_002.jpg
    156.4 KB · Views: 49
  • 07062012_002.jpg
    07062012_002.jpg
    247.6 KB · Views: 52
  • 20082012_010.jpg
    20082012_010.jpg
    151.6 KB · Views: 50
Mkuu weka maelezo ya kutosha. halafu rekebisha hiyo title ya thread yako. Huwezi kuuza nyumba bila eneo lake! hakuna nyumba inayobebeka kwamba mtu akinunua anaondoka nayo na eneo la nyumba linabaki!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom