Dadio
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 359
- 42
Kuna chumba kimoja self contained maeneo ya surve,i dk kama 4 hivi toka mlimani city, pia kuna nyumba ya vyumba viwili sebule, jiko na toilet maeneo hayo ya savei. Kwa upande wa nyumba bei ni shilingi 250,000/= kwa mwezi na unaweza lipa kwa mwaka au miezi sita, hakuna dalali kwa nyumba zote mbili. Chumba ni shiling elfu 80 kwa kila mwezi na unalipa kwa mwaka. Atakayechkua nyumba anatakiwa kunipa angalau wik mbili nimfanyie marekebisho madogo. Kwa upande wa chumba kipo . Karibuni. 0755063076