Nyumba mpya inauzwa bei karibu na bure!

Kitomai

JF-Expert Member
May 21, 2009
1,060
281
Ipo MBEZI MAKABE. Ipo katika eneo lililopimwa. Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja self contained, sebure, dinning, jiko, imezungushiwa uzio imara, ina tiles katika vyumba vyote. Bei 65mil. Maelewano yapo. kwa mawasiliano piga simu 0717114409/0755312233/0784225000
 

Attachments

  • DSC05610.JPG
    DSC05610.JPG
    44.3 KB · Views: 177
  • DSC05597.JPG
    DSC05597.JPG
    32.9 KB · Views: 160
  • DSC05596.JPG
    DSC05596.JPG
    41.8 KB · Views: 143
  • DSC05604.JPG
    DSC05604.JPG
    41 KB · Views: 149
  • DSC05461.JPG
    DSC05461.JPG
    38.2 KB · Views: 134
  • DSC05462.JPG
    DSC05462.JPG
    33.1 KB · Views: 136
  • DSC05464.JPG
    DSC05464.JPG
    18.4 KB · Views: 131
  • DSC05463.JPG
    DSC05463.JPG
    26.6 KB · Views: 139
  • DSC05483.JPG
    DSC05483.JPG
    24.1 KB · Views: 129
  • DSC05605.JPG
    DSC05605.JPG
    27.8 KB · Views: 133
Una maana gani unaposema mbezi makabe imepimwa? au una maanisha nyumba ipo kwenye kiwanja kilichopimwa kwa kujipimia mwenyewe. Kupimwa eneo zima na kujipimia kiwanja ni vitu viwili tofauti. Tunafahamu kuwa Maeneo ambayo yamepimwa kutokana na takwimu za wizara ya ardhi ni machache sana hapa Dar, mfano Tegeta,Bunju,Mbweni, Mbezi Beach, Mikocheni,Sinza,Kijichi,tuangoma,mwanagati,buyuni, kisota,buyuni,mwanagati,kibamba (only part),mwongozo, kinyerezi. kama kuna ambalo limesahaulika ni bahati sana. Please clarify
 
sala sala hapajapimwa?
Una maana gani unaposema mbezi makabe imepimwa? au una maanisha nyumba ipo kwenye kiwanja kilichopimwa kwa kujipimia mwenyewe. Kupimwa eneo zima na kujipimia kiwanja ni vitu viwili tofauti. Tunafahamu kuwa Maeneo ambayo yamepimwa kutokana na takwimu za wizara ya ardhi ni machache sana hapa Dar, mfano Tegeta,Bunju,Mbweni, Mbezi Beach, Mikocheni,Sinza,Kijichi,tuangoma,mwanagati,buyuni, kisota,buyuni,mwanagati,kibamba (only part),mwongozo, kinyerezi. kama kuna ambalo limesahaulika ni bahati sana. Please clarify
 
sala sala hapajapimwa?

Duuh sorry mkuu, salasala niliisahau. Kuna eneo dogo la salasala
Limepimwa kupitia ule mradi wa bomba la gesi la tazama. Nilichokuwa
Namaanisha ni kuwa maeneo mengi ya makazi yamesahaulika sana kupimwa. Na
Hii imesababisha kuwa na skuata nyingi hasa maeneo ya mbezi ya wastaafu/kimara
 
Ipo MBEZI MAKABE. Ipo katika eneo lililopimwa. Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja self contained, sebure, dinning, jiko, imezungushiwa uzio imara, ina tiles katika vyumba vyote. Bei 65mil. Maelewano yapo. kwa mawasiliano piga simu 0717114409/0755312233/0784225000
Eh bei imeongezeka tena au iliandikwa kimakosa kwani ilikuwa 56 millioni vipi tena Kito
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom