Nyumba ni kubwa ina vyumba 4 vya kulala na uwani ina vyumba 3 jumla ina vyumba 7. pia ina choo ( public toilet) uwani, mbele ina vyumba 2 vya biashara ambavyo vimeunganishwa na nyumba. imeezekwa bati. ina umeme, na kisima cha maji , imewekwa milango na madirisha na tayari kuna wapangaji wanaishi. picha za vyumba vya ndani ya nyumba inakuwa vigumu kupata sababu nyumba tayari inakariwa na imewekwa dhamani mbali mbali. na mmiliki wa nyumba ndiyo ameamua kuiuza. nyaraka zote muhimu zipo. Ipo wilaya ya Temeke, mbagala chamanzi ( nyumba inauzwa kama ilivyo. haina gati la kuingiza gari ndani japo gari inafika mpaka hapo mlangoni labla mnunuzi afanye marekebisho. bei ni Tsh. 37,000,000.00 tuwasiliane 0755 099 291, 0686 200 117, 0657 14 5555.