Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 9,982
- 34,476
Kwa jinsi hali inavyoendelea hapa Tz, nashindwa kutoifananisha nchi yangu na gesti bubu ambapo kila mwenye uwezo wa kulipia chumba anaweza kufanya anavyotaka chumbani hata kama kalipia 'show time'. Angalia suala la umeme, moja, sasa hii imekuwa si habari tena kwani kwa wiki sasa hatujasikia mgao wa umeme, mbili, funga kazi, wauzaji wa mafuta wamefungia bidhaa yao na wanaitaka serikali iwapigie magoti.
Usemi wa Kafulila alionukuu kitabu chwa Mwl Nyerere kuwa 'serikali legelege' ndiyo tunayoiona leo, serikali iliyopo madarakani imekuwa ni mateka wa wafanyabiashara na haina ubavu wa kuhakikisha maisha bora kwa kila Mtz yanapatikana,
Fikiria nyumba ambayo haina mzazi................... nakulilia mwananchi mwenzangu wa TZ
Usemi wa Kafulila alionukuu kitabu chwa Mwl Nyerere kuwa 'serikali legelege' ndiyo tunayoiona leo, serikali iliyopo madarakani imekuwa ni mateka wa wafanyabiashara na haina ubavu wa kuhakikisha maisha bora kwa kila Mtz yanapatikana,
Fikiria nyumba ambayo haina mzazi................... nakulilia mwananchi mwenzangu wa TZ