NYUMBA INAUZWA IPO SINZA KIJIWENI =DAR ES SALAAM barabara ya Shekilango pia kuna fremu za biashara katika nyumba hiyo hiyo ! BEI MILIONI MIA NNE TU (Maongezi yapo) Kama una hela ya kununua au kuna mtu unaemjua na anahitaji piga namba hiyo ya mhusika 0718-462515
Nikikuletea mteja me nakula ngapi?
kawe kuna nyumba zipo mbili kwa moja zote self parking ipo ipo karibu na barabara bei 300 m maongezi yapo kamisheni ipo,kama unamtu ni pm,
Ntakutafuta...watu kibao wapo wanataka nyumba