Nyumba inauzwa. Ipo Mbezi Msakuzi, ina vyumba 5, vyoo 2, mabanda ya uwani vyumba 8, haina maji wala umeme. Imezungushiwa ukuta. I na geti, imepigwa plasta tayari, inauzwa pamoja na shamba la eka 8 lenye michungwa, minazi, migomba, miembe na miti mingine ya matunda vyote vinazaa. Eneo linafaa sana kwa shule, au mradi wowote mkubwa, barabara inafika hadi shambani. Eneo limepimwana lipo katika hatua za mwisho kupata ofa. Mwenye haja anaweza kutembelea. Bei milioni 200, mazungumzo yapo. Dalali hatakiwi
Wasiliana nami 0774202230 au 0715202230
Wasiliana nami 0774202230 au 0715202230