Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,060
- 281
Ipo kimara Temboni Dar es Salaam, Tanzania. Ina vyumba vitatu vya kulala, (kimojawapo kikiwa masta), ina study room, dinning room, sitting room kubwa, chumba cha kulala kikubwa. Ipo katika uwanja wenye ukubwa wa sqm 2145. Kiwanja kina Tittle Deed. Bei yake sh 200millioni. karibu.
Attachments
Last edited by a moderator: