Nyumba inauzwa sinza karibu na lion hotel

mseseve

JF-Expert Member
Apr 3, 2011
511
89
HAYA TENA WANA JF KUNA NYUMBA INAUZWA SINZA KARIBU NA LION HOTEL IMEPAKANA NA BARABARA YA KWENDA KWA<strong> MWAIBULA.</strong>&nbsp;NI MAKAZI YA MTU, NA INA ENEO KUBWA PAMOJA NA MABANDA YA UWANI. INAFAA KWA LODGE AU KWA BIASHARA YOYOTE ILE. BEI INAANZIA 130MIL ILA KUNA MAELEWANO.<br><br>&nbsp;KWA MAWASILIANO ZAIDI JUST CALL THESE NO<br>&nbsp;0714812375<br>0784562131 for more info...
 
Hata Tandale siku hizi inaitwa Sinza...

Hiyo Bei ni ya kiwanja au matofari? including mabati yaliyooza!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom