Du nakula kwa macho hicho kiwanja we acha tu huu ulofa ,ngoja namimi niji position kwa wavua gamba huenda naweza kupata makandokando ya kununulia hicho kibungalooIpo Tabata kinyerezi. Ina vyumba vinne vya kulala mpya ya kisasa. Bei tshs 130mil. Fixed price.
0717114409
unaweza kuweka inside plan yake??? ni open house au closed??? yaani living room, kitchen and dining??? toa basi maelezo kidogo - ili tujue au kupata idea ndani kukoje??? Tiled floor or cement or wall to wall carpeted - fittings - wardrobes, kitchen cabinets??? au iko tu plain - paint ya ndani - colours etc. au unanunua halafu unafanya finishing???? samahani kama nitakuwa nimekusumbua -
otherwise am interested after getting the details ...................
Ipo Tabata kinyerezi. Ina vyumba vinne vya kulala mpya ya kisasa. Bei tshs 130mil. Fixed price.
0717114409
Ipo Tabata kinyerezi. Ina vyumba vinne vya kulala mpya ya kisasa. Bei tshs 130mil. Fixed price.
0717114409