bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,207
- 301
- Thread starter
- #21
Baba D kwa nini unauza??? Nimesoma Saut hayo maeneo nayajua vizuri sana,isije kua hicho kiwanja ni gumashi...... Maana kina Kashekuli pande hizo wana case za viwanja kwa sana tu
Ninauza kutatua shida zangu nyingine, wala usihofu hakuna shida yoyote, we fika site uliza hata majirani jibu utapata.