Nyumba inauzwa kimara

Ndeonasiae

Senior Member
Aug 15, 2011
102
49
Eneo ukubwa wa heka mbili lenye nyumba ya kisasa yenye vyumba vitano ikiwemo master bedroom, kitchen, dinning, sitting room, choo na bafu store na study room safi, matank mawili yenye ujazo wa lita elfu 6o, visima 2, Mabanda makubwa ya ngombe na kuku, pia kuna kuku 600 wanaotaga mayai trei 15 kwa siku kuna miti safi na maua na nyumba ndogo ya 2 rooms, bei ni Mil 110. wasiliana na 0716622185 au 0759311775
 
mie naona mwenye nyumba kasafiri na utaka kuhusu fasta including kuku!
 
Eneo ukubwa wa heka mbili lenye nyumba ya kisasa yenye vyumba vitano ikiwemo master bedroom, kitchen, dinning, sitting room, choo na bafu store na study room safi, matank mawili yenye ujazo wa lita elfu 6o, visima 2, Mabanda makubwa ya ngombe na kuku, pia kuna kuku 600 wanaotaga mayai trei 15 kwa siku kuna miti safi na maua na nyumba ndogo ya 2 rooms, bei ni Mil 110. wasiliana na 0716622185 au 0759311775

Vp vyombo vya ndani navyo vinauzwa pamoja?
 
Updated: kaseme akipatiwa hiyo bei ataondika na nguo zake tu, anaacha hadi furniture
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom