Habari wana JF.. Natafuta mnunuzi wa nyumba, iko kariakoo mtaa wa nyarung'ombe na ndanda.. Nyumba ni kubwa na iko kwenye corner.. Mimi ni mjukuu wa mwenye nyumba..
Hati ndio inayo. Tume imeshughulikiwa recently, ilikua haina.. Ilikua ina makaratasi tu ya ununuzi kati ya babu yangu na yule aliemuuzia miaka ya sabini..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.