mlimbwende
Member
- Jul 15, 2011
- 74
- 26
Nyumba ya kisasa mpya ndio imemalizwa kujengwa inapangishwa ukonga sitakishari. Ina vyumba vinne vya kulala, master bedroom. Ina garage, maji, umeme wa luku. Sh. laki tano kwa mwezi. kodi ya mwaka mzima inatakiwa. Dalali no. Picha inafuata.