Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,061
- 281
Ina vyumba vya kulala vitatu ( kimoja self contained na vingine viwili vya kawaida). In sebure kubwa ambayo inatumika kama dinning pia. Ina jiko na store. Ina uwanja wa kutosha kupaki magari matatu au manne. Kodi sh 300,000 kwa mwezi.
Kwa maelezo ya ziada piga simu 0717114409
Kwa maelezo ya ziada piga simu 0717114409