Kabachubya
Member
- Oct 6, 2009
- 87
- 10
Nyumba inapangishwa tabata kimanga karibu kabisa na kanisa la KKKT Kimanga.
Ina vyumba viwili vya kulala, sebure, jiko, choo na bafu. Iko ndani ya uzio wa ukuta. kwa wafugaji kuna kibanda cha kuku na mbwa kwa wenye mbwa.
Bei ni Tshs 200,000 kwa mwezi.
Kwa mawasiliano 0713 123464 au 0762 101178
Ina vyumba viwili vya kulala, sebure, jiko, choo na bafu. Iko ndani ya uzio wa ukuta. kwa wafugaji kuna kibanda cha kuku na mbwa kwa wenye mbwa.
Bei ni Tshs 200,000 kwa mwezi.
Kwa mawasiliano 0713 123464 au 0762 101178