Nyumba inapangishwa sinza kumekucha, ina vyumba vitatu vya kulala na masterbedroom moja, sebule, dinning, jiko na store, nyumba ina marumaru za spain, parking kubwa na fence ya uhakika, bei ni 600,000 Tsh kwa mwezi call 071413362
Nyumba inapangishwa sinza kumekucha, ina vyumba vitatu vya kulala na masterbedroom moja, sebule, dinning, jiko na store, nyumba ina marumaru za spain, parking kubwa na fence ya uhakika, bei ni 600,000 Tsh kwa mwezi call 071413362
nyumba inapangishwa sinza kumekucha, ina vyumba vitatu vya kulala na masterbedroom moja, sebule, dinning, jiko na store, nyumba ina marumaru za spain, parking kubwa na fence ya uhakika, bei ni 600,000 tsh kwa mwezi call 071413362
nyumba inapangishwa sinza kumekucha, ina vyumba vitatu vya kulala na masterbedroom moja, sebule, dinning, jiko na store, nyumba ina marumaru za spain, parking kubwa na fence ya uhakika, bei ni 600,000 tsh kwa mwezi call 071413362
sirikali iko usingizini bado jitahidi ujenge kibanda chako!hivi huu wizi utaisha lini?
Serikali ipo wapi?
Bei za nyumba za kupanga kwa sasa haziendani kabisa na maisha ya watu wake, tunakomoana sana,
serikali inabidi iingilie kati suala hili la bei za nyumba za kupanga.
hivi huu wizi utaisha lini?
Serikali ipo wapi?
Bei za nyumba za kupanga kwa sasa haziendani kabisa na maisha ya watu wake, tunakomoana sana,
serikali inabidi iingilie kati suala hili la bei za nyumba za kupanga.