Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
- Thread starter
- #41
Taifa halijengwi na mtu mmoja hujengwa na watu wengi kwa pamoja; Nyerere alikuwa muasisi tu na ilitakiwa waliomfuata nao waendeleze jitihada ili kuimarisha ujenzi wa taifa imara. Unfortunately hatukuwa na akina Nyerere wengi.
Nyerere alitekeleza jukumu la kwake, waliomfuata hawakutekeleza ya kwao; wakajiswagia kiholela bila hata vision.
Exactly, kwa vile alikua muasisi basi alipaswa aweke mambo sawa ili watakaomfuata baada yake waendeleze yale aliyoyaasisi!