Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Vingenevyo issues tunazozileta humu zisingekua MTAMBUKA basi Jf isingeleta maana as a society ! .
Same circumstance inayotokea kwangu leo, ndiyo itakayotokea kwako kesho.
Na ndiyo maana likikuchanganya fasta break ya kwanza mkekani.
Jana usiku, kaka yangu mkubwa alinifika nyumbani kwangu. Kunitaka ushauri, kaka yangu huyu ana mke na watoto wa4.
Aidha yeye na familia yake wanaishi nyumba ya kupanga.
Baba mkwe wake ana nyumba zaidi ya 3 kilichotokea Baba mkwe amempa offer akaiishi na familia yake kati ya nyumba hizo.
"mdogo wangu ni vyema nikaishi ukweni ? Sitokuja nyanyasika ?" (namnukuu).
Nimemuomba anipe time hadi sunday nami nifikiri cha kumjibu.
Wadau namie nimepitia kwenu mwanishaurije cha kumjibu ?
Same circumstance inayotokea kwangu leo, ndiyo itakayotokea kwako kesho.
Na ndiyo maana likikuchanganya fasta break ya kwanza mkekani.
Jana usiku, kaka yangu mkubwa alinifika nyumbani kwangu. Kunitaka ushauri, kaka yangu huyu ana mke na watoto wa4.
Aidha yeye na familia yake wanaishi nyumba ya kupanga.
Baba mkwe wake ana nyumba zaidi ya 3 kilichotokea Baba mkwe amempa offer akaiishi na familia yake kati ya nyumba hizo.
"mdogo wangu ni vyema nikaishi ukweni ? Sitokuja nyanyasika ?" (namnukuu).
Nimemuomba anipe time hadi sunday nami nifikiri cha kumjibu.
Wadau namie nimepitia kwenu mwanishaurije cha kumjibu ?