FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Ingekuwa haipo, wife angeshanifumania si chini ya mara kumi!
hahahaha Xpin un hasara kubwa ..nadhani wife bado anapanga mashambulizi duh
Ingekuwa haipo, wife angeshanifumania si chini ya mara kumi!
lakini kama tutafanya kwa siri kama nyamayao na fl1 wanavyosisitiza?!.....That is single scenario, ziko nyingine nyingi tu. Kwa mfano kuachika mimi na wife what will happen to my kids? unajua wengi wetu tuna count madhara baada ya kutokea
MBA- Married But Available.
Hapa kabla sijakwenda popote naomba niwaswalike swali enzi waungwana mnaosupport nyumba ndogo- Is it sawa pia kwa serengeti boys? If so why kina mama wanaouwa na nyumba ndogo zao mnawalaumu?
serengeti boiz mi naona sawa tu!serengeti boiiz ni picha halisi ya FAILURE OF MWANAUME KUTIMIZA WAJIBU WAKEMBA- Married But Available.
Hapa kabla sijakwenda popote naomba niwaswalike swali enzi waungwana mnaosupport nyumba ndogo- Is it sawa pia kwa serengeti boys? If so why kina mama wanaouwa na nyumba ndogo zao mnawalaumu?
Im just referring to my situation, sijakataa kuna wanaume wanasumbua vichwa za wake zao na kufanya mambo mengi ovyo saaana tuu...but not all men are the same and so are the women, my former woman alikuwa na mdomo ambao anasema bila kufikira mara mbili, mtu unajikuta unahasira unaweza chinja mtu..alafu baadaye huyo anakimbilia 'girlfriends' hoo jamaa alinisikilizi ooh hajali ooh controlling. Jueni kunyamaza muone matunda yake, even a man that cheats gets hurt more by the silent wife than the one that opens they mouth 24/7.
lakini kama tutafanya kwa siri kama nyamayao na fl1 wanavyosisitiza?!.....
Hapa kabla sijakwenda popote naomba niwaswalike swali enzi waungwana mnaosupport nyumba ndogo- Is it sawa pia kwa serengeti boys? If so why kina mama wanaouwa na nyumba ndogo zao mnawalaumu?
Vipi uhusiano wako na Mungu unauweka wapi?
Im just referring to my situation, sijakataa kuna wanaume wanasumbua vichwa za wake zao na kufanya mambo mengi ovyo saaana tuu...but not all men are the same and so are the women, my former woman alikuwa na mdomo ambao anasema bila kufikira mara mbili, mtu unajikuta unahasira unaweza chinja mtu..alafu baadaye huyo anakimbilia 'girlfriends' hoo jamaa alinisikilizi ooh hajali ooh controlling. Jueni kunyamaza muone matunda yake, even a man that cheats gets hurt more by the silent wife than the one that opens they mouth 24/7.
Vipi uhusiano wako na Mungu unauweka wapi?
Nipe sababu za mtu kukimbilia nyumba ndogo........I agree with you kwamba being a naging wife sucks a lot, na nyumba inakuwa so unwellcoming for both. Lakini pia isiwe sababu ya mtu kukimbilia nyumba ndogo, kwa nini usitumie muda huo kufanya shughuli za maendeleo kama vile kusoma, kuongeza michezo kwenye maisha yako, nk,nk.
mumeo hana nyumba ndogo?ai miin can you justfy?
Ofcourse hana, that, i can proudly confirm! And am very thankfully for that! Justifying is not necessarry as long as nimejiridhisha na kuuachia moyo wangu uamini nachoamini. In future i cant say but so far he is mine and only mine. However,hata wakiwepo nyumba ndogo in future sitishiki, they are just mistresses who are no threat to me.
Tatizo ni nini hasa la kuwa na nyumba ndogo?
1.ni tamaa
2.wake zetu hawaturidhishi
3.tuliyotegemea kwa wake zetu hayapo
4.au staili ya kutafuta kazi au hela
5.
6.
.
.
.
.
ha ha ha ha ha!i know u r kidding bana!HOW CAN YOU JUSTFY?au umeikata huwa unatembea nayo kwenye kipima joto?Ofcourse hana, that, i can proudly confirm! And am very thankfully for that! Justifying is not necessarry as long as nimejiridhisha na kuuachia moyo wangu uamini nachoamini. In future i cant say but so far he is mine and only mine. However,hata wakiwepo nyumba ndogo in future sitishiki, they are just mistresses who are no threat to me.
Nipe sababu za mtu kukimbilia nyumba ndogo........
Wanadai ati hakuna mwanamke awezaye kutumikia mabwana 2 kwa hiyo kwa mwanamke NO kuwa na serengeti boyz.