Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Sisi wanaume tunaiga vitu vingine s/times, Ni nini kinakupeleka kwenye nyumba ndogo? nini ambacho mkeo anacho nyumba ndogo haina? ni kutafuta magonjjwa ya moyo kabla ya magonjwa ya zinaa kwa mfano una kamshara ka laki 3/5 na ndg wanakutegemea mkeo na watoto na nyumba ndogo tena? .
Hivi ni wewe mwenyewe au mwingine? Naona Banta umeamua kuachana nazo kabisa.