Respect
Member
- Jun 24, 2009
- 28
- 0
Ziko Mwananyamala A, DSM. Ni za kisasa na hadhi ya juu kabisa na vitu vifuatavyo;
Electrical fence, kwa ujumla mfumo wa kisasa wa ulinzi, A/C full kwenye "master" na sebuleni, vyumba 3 vyakulala na kimoja "master", line mbilimbili za maji hivyo maji ni uhakika 100%, kila moja inaweza kuingiza gari ndogo tatu, barabara ya lami hadi mlangoni ujirani mwema mzuri, eneo lote la ndani ya uzio wa kila nyumba limesakafiwa likiwa na maua hapa na pale n.k
**Kila moja inapangishwa kivyake.
Bei ni 700,000/ Tzs kwa kila nyumba kwa mwezi..
Piga simu 0773 244254, 0787 101961
Samahani dalali hatakiwi wapendwa!
Electrical fence, kwa ujumla mfumo wa kisasa wa ulinzi, A/C full kwenye "master" na sebuleni, vyumba 3 vyakulala na kimoja "master", line mbilimbili za maji hivyo maji ni uhakika 100%, kila moja inaweza kuingiza gari ndogo tatu, barabara ya lami hadi mlangoni ujirani mwema mzuri, eneo lote la ndani ya uzio wa kila nyumba limesakafiwa likiwa na maua hapa na pale n.k
**Kila moja inapangishwa kivyake.
Bei ni 700,000/ Tzs kwa kila nyumba kwa mwezi..
Piga simu 0773 244254, 0787 101961
Samahani dalali hatakiwi wapendwa!
Last edited: