Nyumba 2 za kisasa zinapangishwa

Respect

Member
Jun 24, 2009
28
0
Ziko Mwananyamala A, DSM. Ni za kisasa na hadhi ya juu kabisa na vitu vifuatavyo;
Electrical fence, kwa ujumla mfumo wa kisasa wa ulinzi, A/C full kwenye "master" na sebuleni, vyumba 3 vyakulala na kimoja "master", line mbilimbili za maji hivyo maji ni uhakika 100%, kila moja inaweza kuingiza gari ndogo tatu, barabara ya lami hadi mlangoni ujirani mwema mzuri, eneo lote la ndani ya uzio wa kila nyumba limesakafiwa likiwa na maua hapa na pale n.k
**Kila moja inapangishwa kivyake.
Bei ni 700,000/ Tzs kwa kila nyumba kwa mwezi..

Piga simu 0773 244254, 0787 101961

Samahani dalali hatakiwi wapendwa!
 
Last edited:
Seems they are good houses...but 1,000k/pm?....and how many months to be paid for in advance?
 
Seems they are good houses...but 1,000k/pm?....and how many months to be paid for in advance?

Ndiyo ndugu yangu ni nyumba nzuri sana tu, nakuhakikishia.
Hiyo bei ya milioni1 kwa mwezi inarekebika kidogo ukiongea sawasawa, na hata months to be paid as advance linaongeleka pia.

Karibu...
 
Ziko Mwananyamala A, DSM. Ni za kisasa na hadhi ya juu kabisa na vitu vifuatavyo;
Electrical fence, kwa ujumla mfumo wa kisasa wa ulinzi, A/C full kwenye "master" na sebuleni, vyumba 3 vyakulala na kimoja "master", line mbilimbili za maji hivyo maji ni uhakika 100%, kila moja inaweza kuingiza gari ndogo tatu, barabara ya lami hadi mlangoni ujirani mwema mzuri, eneo lote la ndani ya uzio wa kila nyumba limesakafiwa likiwa na maua hapa na pale n.k
**Kila moja inapangishwa kivyake.
Bei inaanzia 1,000,000/ Tzs kwa kila nyumba kwa mwezi, lkn maongezi yapo..

Piga simu 0773 244254

Samahani dalali hatakiwi wapendwa!

kwanza karibu sana hapa JF, lakini naomba nikuulize wewe ni dalali au ndio mwenye hiyo mijengo, aisee unajua haya mambo ya kupangisaha inategemea na lication, hata kama nyumba hiko nzuri kiasi gani lakini location in matter, kwa hiyo bei ya 1k kwa mwezi kwa kweli ni kubwa sana hebu jipange vizuri uje na bei ambayo haina maongezi, hii ya kusema pungufu tutaongea ndio inakuwaga na mashaka
 
kwanza karibu sana hapa JF, lakini naomba nikuulize wewe ni dalali au ndio mwenye hiyo mijengo, aisee unajua haya mambo ya kupangisaha inategemea na lication, hata kama nyumba hiko nzuri kiasi gani lakini location in matter, kwa hiyo bei ya 1k kwa mwezi kwa kweli ni kubwa sana hebu jipange vizuri uje na bei ambayo haina maongezi, hii ya kusema pungufu tutaongea ndio inakuwaga na mashaka

Nashukuru ndugu yangu, mie sio dalali. Kuhusu Location usitie shaka hilo limezingatiwa, na hiyo Mwananyamala siyo ile yenye patashika tele! Hiyo sehemu imetulia mno, naamini utaipenda kwa asilimia100% na mengine ni kama nilivyoeleza hapo juu.

Karibu..
 
Nashukuru ndugu yangu, mie sio dalali. Kuhusu Location usitie shaka hilo limezingatiwa, na hiyo Mwananyamala siyo ile yenye patashika tele! Hiyo sehemu imetulia mno, naamini utaipenda kwa asilimia100% na mengine ni kama nilivyoeleza hapo juu.

Karibu..

Lete picha zake tuone. Ila Mwananyamala kwa 1M kwa mwezi! Mhhhhhh! Hizo ni bei za Masaki na Oyster Bay rafiki.
 
Lete picha zake tuone. Ila Mwananyamala kwa 1M kwa mwezi! Mhhhhhh! Hizo ni bei za Masaki na Oyster Bay rafiki.

Usijali tajiri wangu, ntaziweka hizo picha ngoja nishughulikie hilo. Ndugu yangu, hizo ni bora kuliko hata hizo za Masaki!
Kuhusu Mwananyamala kwa 1m, zingekuwa masaki ingekuwa bei maradufu! Hata hivyo hiyo mwananyamala ni ile iliyotulia siyo "Uswazi".......

Narudia kwenye bei mazungumzo yapo.
 
bei siyo mbaya sana ila nataka ulete picha za hiyo nyumba nje na ndani na ikiwezekana eneo linalozunguka hapo kwenye nyumba,na kuweka wazi mashariti ya mkataba wa hizo nyumba kwani wenye nyumba wengine watata kwani hata wanatakaga namba na picha ya mke wa anayepanga nyumba.
 
nashukuru ndugu yangu, mie sio dalali. Kuhusu location usitie shaka hilo limezingatiwa, na hiyo mwananyamala siyo ile yenye patashika tele! Hiyo sehemu imetulia mno, naamini utaipenda kwa asilimia100% na mengine ni kama nilivyoeleza hapo juu.

Karibu..

locatio ni ule mtaa karibu na makaburini kwa manjunju?
 
Jamani niseme tu ukweli nimefurahia sana response zenu ni nzuri tu.
Nitumie meseji au nipigie simu yangu iko hapo juu, bei tutaelewana (punguzo lipo) msitie shaka....
 
Jamani niseme tu ukweli nimefurahia sana response zenu ni nzuri tu.
Nitumie meseji au nipigie simu yangu iko hapo juu, bei tutaelewana (punguzo lipo) msitie shaka....


...Kwa Mwananyamala tunayoijua wengi wetu humu, sioni eneo ambalo linaweza kuwa na nyumba ya kupanga shilingi M 1 kwa mwezi. Pengine angalau ingekuwa vyema wakati tunasubiri utundike picha za hizo nyumba angalau ungetufahamisha ziko Mwananyamala gani na kwa sisi tutumiao usafiri wa jumuiya a.k.a daladala, nitashuka kituo gani?
 
Zile picha za zile nyumba zetu, hizi hapa.
 

Attachments

  • IMG0073A.jpg
    IMG0073A.jpg
    10.3 KB · Views: 235
  • IMG0075A.jpg
    IMG0075A.jpg
    6.2 KB · Views: 212
  • IMG0077A.jpg
    IMG0077A.jpg
    6.2 KB · Views: 208
  • IMG0081A.jpg
    IMG0081A.jpg
    9 KB · Views: 185
  • IMG0083A.jpg
    IMG0083A.jpg
    4.1 KB · Views: 179
  • IMG0085A.jpg
    IMG0085A.jpg
    5.5 KB · Views: 171
  • IMG0095A.jpg
    IMG0095A.jpg
    5.9 KB · Views: 183
  • IMG0107A.jpg
    IMG0107A.jpg
    5.4 KB · Views: 173
  • IMG0114A.jpg
    IMG0114A.jpg
    8.6 KB · Views: 156
  • IMG0131A.jpg
    IMG0131A.jpg
    6.4 KB · Views: 159
  • kwa ndani.jpg
    kwa ndani.jpg
    6.7 KB · Views: 174
  • kwa ndani4.jpg
    kwa ndani4.jpg
    8.1 KB · Views: 175
  • kwa nje.jpg
    kwa nje.jpg
    8.5 KB · Views: 182
  • mtaa wa nyumba.jpg
    mtaa wa nyumba.jpg
    10.1 KB · Views: 181
  • ndani kwa juu.jpg
    ndani kwa juu.jpg
    3.2 KB · Views: 162
  • nyumba kwa nje.jpg
    nyumba kwa nje.jpg
    8.3 KB · Views: 169
  • motar ya maji.jpg
    motar ya maji.jpg
    9.9 KB · Views: 153
Kiongozi Respect,
Marketing skills zako ziko juu.
Wanaoleta matangazo wengine hapa JF watajifunza mengi toka kwako.
Shukurani sana.
Kila la heri katika kutafuta wapangaji.
 
Wakuu,

Mauzo ya aina YOYOTE kati ya mwanachama na mwanachama au kati ya yeyote aliyesoma tangazo la mauzo hapa JF na muuzaji kama hayatapitia kwetu kama uongozi wa JF hatutakubali lawama.

Tangazo lolote ambalo limeidhinishwa litawekwa na Maxence, Admin, PainKiller, Silencer, Invisible au Farida.

Tofauti na watajwa juu eleweni kuwa ni kuchukua risks katika kununua mali ya aina yoyote.

Uongozi wa JF upo katika mchakato wa mwisho kumalizia ofisi rasmi kwa ajili ya wauzao na wanunuao ambapo matangazo yatatangazwa rasmi na uongozi baada ya kuwasiliana na wenye mali husika.

Ni angalizo muhimu kwa wakati huu, iweni macho!

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom