Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,720
- 155,314
Kwa heshima na taadhima, naienzi hii timu ya kijiweni Mtaa wa Congo ambayo ilishiriki ligi kuu Tanzania Bara na kuwa tishio kwa kupiga mpira na buti.
Rosta Ndunguru na wenzako, tunawakumbukeni sana kwa kuleta na kucheza soka tamu la ushindani nchini mwetu Tanzania
Rosta Ndunguru na wenzako, tunawakumbukeni sana kwa kuleta na kucheza soka tamu la ushindani nchini mwetu Tanzania