Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,976
- 95,295
Safi sana shem, lakini angalia jamaa alivyokubadili jinsia hapa!Emasaku as much as naamini kua ni kweli kila mmoja ana bahati yake
Lingine nielewalo mimi ni kwamba ukiendekeza saana hayo mambo ktk
maisha yako hamna la maana utafanya; For kila ufanyalo yaani ule, ulale,
upate pesa, ukose pesa yaani ufanye lolote utataka kuhusisha na Nyota.
It is not healthy Mkuu, mambo ya nyota fanya for leisure but yasiongoze
kabisa maisha yako.... naamini kupoteza dira ya Maisha ni rahisi ukiendekeza...
Best of Luck....
Thanks for your advice man! Huwa siamini haya mambo thus why mwanzo nilitupa ile dawa! Let me try again and see!