Kativii kangu ka black n white kamepona so uchaguzi niko nao beneti kwa sasa, Jana Dr. slaa nilimuona Jangwani kapata nyomi hata tiviii ilikuwa ndogo, lakini leo huyu Jeykey kapata manyomi ilibakia kiduchu kativii kangu kapasuke kwa watu waliojaa humo tiviini. Hii inashria nini jamani nyie mtakaojengewa barabara za ndege huko dar?