Atakufikisha mahakamani
Kimya.Hilo nyomi lote wenye vitambulisho vya kupigia kura hawazidi 50.
ni nyomi kweli au ni kale kamchezo ka camera zetu za kisasa!!!
........ kiukweli Cdm wanaonekana kupata watu wengi Arumeru lakini cha msingi hao watu wamejiandikisha?