Nyomi la CHADEMA Arumeru leo

538449_364650896912386_100001024378293_1142482_362472890_n.jpg


jamani namba ya kuchangia ukombozi wa nchi ni 0757 755 333
 
Kila siku nasema elimu ya uraia kabla ya chaguzi au wakati hakuna uchaguzi ni muhimu sana
Kuwaeleza watu haki zao na umuhimu wa wao kujiandikisha kupiga kura na kuchagua viongozi wao
Asilimia kubwa ya vijana hawana vile vitambulisho vya mpiga kura na hili ni tatizo la kila sehem
wengi hata waliovipoteza bado hawajapata vingine
Tungeviambia vyama vya siasa kuwa wakati hakuna issue yoyote ya uchaguzi waende huko vijijini wakatoe alimu ya uraia kuwaambia wananchi umuhimu wa kupiga kura na kujiandikisha na umuhimu wa kuwachagua watu au viongozi wanaowapenda na watakaoowaletea maendeleo yao na sio bora kiongozi ambaye anaonekana kwenye kampeni tuu akishapata kura ndo ameondoka


Umesema vyema mkuu lakini tatizo ni serikali haitaki tume ya uchaguzi iwe endelevu kishughuli zake. unakuta eti issue ys kuandikisha wapiga kura ni yakufanywa siku za uchaguzi tu wakati NEC inapashwa iwe ndo kazi yake ya kila siku kuhakikisha kila anayefikisha miaka 18 anasajiliwa kwenye daftari. Kwanini inachukuwa miaka yote hii kwa tume kuwa na ofisi za kudumu kila wilaya/kata/vijiji? Nadhani katiba mpya itautibu huu ugonjwa na wala hakutakuwa tena na tatizo la kuwa na wapiga kura wazee tu huku vijana wakinyimwa haki hiyo kisa watawapigia kura wapinzani.
 
Nina wasiwasi na Picha kwamba si ya leo.Kama mleta thread amechakacha akome,sio tabia ya CDM Hiyo.
 
Kila siku nasema elimu ya uraia kabla ya chaguzi au wakati hakuna uchaguzi ni muhimu sana
Kuwaeleza watu haki zao na umuhimu wa wao kujiandikisha kupiga kura na kuchagua viongozi wao
Asilimia kubwa ya vijana hawana vile vitambulisho vya mpiga kura na hili ni tatizo la kila sehem
wengi hata waliovipoteza bado hawajapata vingine
Tungeviambia vyama vya siasa kuwa wakati hakuna issue yoyote ya uchaguzi waende huko vijijini wakatoe alimu ya uraia kuwaambia wananchi umuhimu wa kupiga kura na kujiandikisha na umuhimu wa kuwachagua watu au viongozi wanaowapenda na watakaoowaletea maendeleo yao na sio bora kiongozi ambaye anaonekana kwenye kampeni tuu akishapata kura ndo ameondoka

Wasiwasi wangu mimi si kwa hawa kutokuwa na vitambulisho vya kupigia kura ila ni pale Tume ya uchaguzi ya CCM itakapotaka kutumia sababu hizi kunyima watu haki yao ya uraia, haki hii haiombwi na wala si favour bali ni wajibu. Kama watatumia uhuni kama wa Igunga kubadilisha majina ya katika vituo vya mwaka 2010 na ku-scramble register ili ku-create chaos na kukatisha watu tamaa, basi wajiandae for the worse in the future. Maana ni rahisi sana kuwapandikia chuki dhidi ya serikali hawa watu kama tu tume itaonesha kutokujali haki yao, ila itakuwa ngumu kuwafanya waipende tena CCM.

CCM wangekuwa na busara wangekuwa wanatumia chaguzi hizi ndogo kuonesha ubora wa utendaji wa tume kwa kuacha wananchi wajichagulie kwa amani na uhuru, then five years later unakuwa na sababu ya kuwashawishi tena kwa kuwauliza 'Are you better of today than you were four/five years ago?
 
Wewe mtu mzima ebu tumia akili hata kidogo hiyo picha ni Arumeru hapo? Au mnaamua tu kudanganyana?

acha u pi.m.bi wewe mwanzo ulipochangia ukuwa unajua unafanya nini .akili za kushkia na super glue kaz kwel kwel.kalale ukiamka u wil be fine chali wangu
 
acha u pi.m.bi wewe mwanzo ulipochangia ukuwa unajua unafanya nini .akili za kushkia na super glue kaz kwel kwel.kalale ukiamka u wil be fine chali wangu

Haya ngoja nikufurahishe wewe ambaye si pimbi. Hapo na Arumeru bonge la Nyomi, haya furahi basi.
 
Kila siku nasema elimu ya uraia kabla ya chaguzi au wakati hakuna uchaguzi ni muhimu sana
Kuwaeleza watu haki zao na umuhimu wa wao kujiandikisha kupiga kura na kuchagua viongozi wao
Asilimia kubwa ya vijana hawana vile vitambulisho vya mpiga kura na hili ni tatizo la kila sehem
wengi hata waliovipoteza bado hawajapata vingine
Tungeviambia vyama vya siasa kuwa wakati hakuna issue yoyote ya uchaguzi waende huko vijijini wakatoe alimu ya uraia kuwaambia wananchi umuhimu wa kupiga kura na kujiandikisha na umuhimu wa kuwachagua watu au viongozi wanaowapenda na watakaoowaletea maendeleo yao na sio bora kiongozi ambaye anaonekana kwenye kampeni tuu akishapata kura ndo ameondoka


Ni kweli kiongozi! Na bila shaka hili zoezi limefanyika barabara kbs kwa taarifa tuliohakiki

Na hata waliopoteza na majina yao kuonekana nao wamepatiwa vitambulisho vingine!

Mageuzi ni sasa na kama si sasa ni sasa hv!
 
Kila siku nasema elimu ya uraia kabla ya chaguzi au wakati hakuna uchaguzi ni muhimu sana
Kuwaeleza watu haki zao na umuhimu wa wao kujiandikisha kupiga kura na kuchagua viongozi wao

Asilimia kubwa ya vijana hawana vile vitambulisho vya mpiga kura na hili ni tatizo la kila sehem
wengi hata waliovipoteza bado hawajapata vingine
Tungeviambia vyama vya siasa kuwa wakati hakuna issue yoyote ya uchaguzi waende huko vijijini wakatoe alimu ya uraia kuwaambia wananchi umuhimu wa kupiga kura na kujiandikisha na umuhimu wa kuwachagua watu au viongozi wanaowapenda na watakaoowaletea maendeleo yao na sio bora kiongozi ambaye anaonekana kwenye kampeni tuu akishapata kura ndo ameondoka

hautaelekweka mkuu. hadi vyama mbadala wanaamini na wanategemea elimu ya uraia ni kazi ya NEC, NEC kwa kuwa inawaafaidisha wao na CCM, hawana mpango wa kuelimisha wananchi ju ya haki zao kikatiba
 
Back
Top Bottom