Nyomi la CHADEMA Arumeru leo

Chenge

JF-Expert Member
Oct 5, 2011
1,073
377
538449_364650896912386_100001024378293_1142482_362472890_n.jpg
 
Kama kweli safi, lakini nakuwa na mashaka maana hiyo picha iko kimya sana, haina maelezo yeyote!!
 
Kila siku nasema elimu ya uraia kabla ya chaguzi au wakati hakuna uchaguzi ni muhimu sana
Kuwaeleza watu haki zao na umuhimu wa wao kujiandikisha kupiga kura na kuchagua viongozi wao
Asilimia kubwa ya vijana hawana vile vitambulisho vya mpiga kura na hili ni tatizo la kila sehem
wengi hata waliovipoteza bado hawajapata vingine
Tungeviambia vyama vya siasa kuwa wakati hakuna issue yoyote ya uchaguzi waende huko vijijini wakatoe alimu ya uraia kuwaambia wananchi umuhimu wa kupiga kura na kujiandikisha na umuhimu wa kuwachagua watu au viongozi wanaowapenda na watakaoowaletea maendeleo yao na sio bora kiongozi ambaye anaonekana kwenye kampeni tuu akishapata kura ndo ameondoka
 
Ccm tupo hapa kwenye uwanja mpira chuo cha ualimu patandi naona watoto wa shule msingi ya patandi na wananchi wanapita kwa mbali kama upo karibu na eneo tunaomba ukaribie.
 
Back
Top Bottom