"nyoka"...!

Attachments

  • images_4.jpeg
    images_4.jpeg
    2.7 KB · Views: 125
Bagah ndio nini kumtaja taja huyo kiumbe na unajua shem wako naishi maporini!!
 
nyoka, kiuma mbuzi, tandu, nnge, vunja jungu hawa naaogopa sn.
Mjusi, mende, panya, jongoo hawa siwapendi tu wanakera wakikupandia au hata kuwaona wanasisimua
 
Nyoka hanaga shida na mtu sema tu sisi wanadamu ndo tunawaogopa ila hakuna mtu aliyewahi kufukuzwa na nyoka bali nyoka akimuona mwanadamu huwa anakimbia zake ila kwa chuki zetu huwa lazma tumtafute hadi tumuue...
Lol ni ukatili huo....
Kula mnyama ana haki ya kuishi....tuwapende na tusiwachockoze......

tuwapende wanyama wote lakini sio nyoka.
 
Tatizo Kaeso uoga ndo unawasumbua...nyoka ni mnyama mzuri tu km walivyo ng'e....yan hskudhuru bila sababu na akikudhuru basi amejihami tu...

ishu ni madhara...hizo zingine mbwembwe tu...nyoka hapendeki dogo!
 
Kwani mbwa au paka hawana madhara??
Mbona mnaishi nao bila shida??
Mbona nyuki mnawafuga??
Kwani hawang'ati??

kwani kuwafuga imemaanisha hatuwaogop??hata nyoka anafugwa pia...
wale mbwa wa police vip?huwaogopi kwakua wanafugwa?...nilichokua namaanisha hapa ni kwamba wanyama wanatofautiana...na kuna namna mwili wako unaitikia unapomwona CHURA na utakapomuona CHATU...Utakubaliana na mm kuwa pale ARUSHA SNAKE PARK pamoja na kua wale nyoka hawana madhara lakini bado watu wanaogopa kuwashika...kwa nini???
 
Ng'e hana noma, wameshaning'ata sana.
Sehemu aliyokung'ata huwa inapata ganzi kama ile ukiegeme a mkono au kukalia mguu.

Ttaizo ni generalise kama nge wako species moja. No kuna nge wanasumu hatari.. May be unaweza usife laini ukaparlyse hata mguu. kama ilivyo kwa nyoka kuna wale nyoka wa akijani inasemekna hawana madhara wakikugonga kama jamii nyingine za nyoka .

Huko vijijini. maporini kuna watu wanaumwa na nge wenye sumu kali wanaparalyse taratbu baada ya muda mrefu wanshindwa kutembea then wanajua wamerogwa.

Kumbe kashindw akutemeba baada ya miezi sita toka kuumw ana nyoka/ nge akini hawezi ku connect the dots.
 
Ttaizo ni generalise kama nge wako species moja. No kuna nge wanasumu hatari.. May be unaweza usife laini ukaparlyse hata mguu. kama ilivyo kwa nyoka kuna wale nyoka wa akijani inasemekna hawana madhara wakikugonga kama jamii nyingine za nyoka .

Huko vijijini. maporini kuna watu wanaumwa na nge wenye sumu kali wanaparalyse taratbu baada ya muda mrefu wanshindwa kutembea then wanajua wamerogwa.

Kumbe kashindw akutemeba baada ya miezi sita toka kuumw ana nyoka/ nge akini hawezi ku connect the dots.

baelezee asee
 
Naogopa nyoka kupita kiasi! Yaani nikiona nyoka huwa sijielewi nifanyeje nilie, nitapike, nizimie au nifanye nini ili mradi tafrani! Mara nyingine huhisi tumbo kuuma. Nachukia mpaka picha yake! Wadudu wengine nisio wapenda ni kinyonga, tandu, n'nge na konokono!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom