kamtu33
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 999
- 405
powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
kunja ngumi kunja, kunja, kunjaa kunjaaaaaaaaa!... haya itikia tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
umenkumbusha maneno ya mh rip yahya husein...alisema ile nembo ni kama ya dini ya akina kanumba,na gvt ni mdini kule!
Ile alama sio nyoka ni mnyoo ambaye huweza kumwingia mtu na hapo zamani ilibidi mnyoo huo uviringishwe kwenye kijiti halafu ndo utolewe!
Hiyo ya Muhimbili na other Medical Institutions inaitwa "Caduceus" jina la kigiriki ni alama ya utabibu! Unaweza kuGoogle upate details zaidi! Usiogope bana! Ni vizuri unavyofanya udadisi! Watakuja magwiji hapa watafunguka zaidi!
kuna mtu kaniambia kule misri zamani, musa aliambiwa na mungu aweke nyoka kwenye mti na auchomeke chini, wale wayahudi waliokuwa wanaumwa na nyoka wakitazama huo mti hawatakufa lkn ambao hawatautazama watakufaits freemasonic symbol which shows a snake surrounding a dagger it barely means the god of health and protection,its source is egypt ,a snake is a devil refering to clear understanding of true doctrines
unaweza ukaikuta kwenye gari za redcross,ambulance,pesa mbalimbali,bidhaa,nguo,vitabu,rozari,vyakula vya makopo na kadhalika wameshateka dunia by 90%
its freemasonic symbol which shows a snake surrounding a dagger it barely means the god of health and protection,its source is egypt ,a snake is a devil refering to clear understanding of true doctrines
unaweza ukaikuta kwenye gari za redcross,ambulance,pesa mbalimbali,bidhaa,nguo,vitabu,rozari,vyakula vya makopo na kadhalika wameshateka dunia by 90%
Habari wana jf! Naombeni kufahamishwa kuhusu picha ya nyoka aliyejizungusha kwenye fimbo, nilishaiona kwenye Taasisi kubwa za Afya kama Muhimbili kisha nimeiona tena kwenye noti ya Tshs. 500 upande wa nyuma kushoto. Ina umuhimu gani mkubwa mpaka kutumika kwenye mahospitali na kwenye noti? Kama kuna mwingine aliyebahatika kuiona kwenye kitu kingine naomba atujuze!
kwani pale jangwani wayahudi walitundikiwa nini watizame ili wasife baada ya kung'atwa na nyoka?.
Conect doti.
Hiyo ni alama ya miungu ya kigiriki;
Caduceus is a winged staff with two snakes wrapped around it. It was an ancient astrological symbol of commerce and is associated with the Greek god Hermes, the messenger for the gods, conductor of the dead and protector of merchants and thieves.
One world order...! Freemason achaujanja ujanja kigiriki ndiyo hakina freemason!
its freemasonic symbol which shows a snake surrounding a dagger it barely means the god of health and protection,its source is egypt ,a snake is a devil refering to clear understanding of true doctrines
unaweza ukaikuta kwenye gari za redcross,ambulance,pesa mbalimbali,bidhaa,nguo,vitabu,rozari,vyakula vya makopo na kadhalika wameshateka dunia by 90%
kwa hiyo hata yule nyoka wa Musa ni wa freemason? unajua watu mmekuwa wahubiri wa mambo bila kujua historia ya yale mnayoyahubiri. mmekuwa kama wachungaji wa mitaani wanaowahubiria wasiojitambua kisa tuu hawawezi kudadisi ukweli wa mambo.
Historia inaonyesha ile alama ipo miaka mingi kabla ya Kristo lakini freemason imeanzishwa kwenye karne ya 13 baada ya Kristo. sasa sijui huo uhusiano unakujaje hapo.
Unapohusisha kila alama ya nyoka na ushetani inaonesha huna imani kwani hata Mungu kuna wakati alitumia nyoka kuonesha ishara ya ukuu wake. mfano; nyoka wa Musa alietokea baada ya kutupa fimbo chini ambayo yalikuwa ni maajabu ya Mungu
nyoka aliemdanganya eva...unganisha doti.kwa hiyo hata yule nyoka wa Musa ni wa freemason? unajua watu mmekuwa wahubiri wa mambo bila kujua historia ya yale mnayoyahubiri. mmekuwa kama wachungaji wa mitaani wanaowahubiria wasiojitambua kisa tuu hawawezi kudadisi ukweli wa mambo.
Historia inaonyesha ile alama ipo miaka mingi kabla ya Kristo lakini freemason imeanzishwa kwenye karne ya 13 baada ya Kristo. sasa sijui huo uhusiano unakujaje hapo.
Unapohusisha kila alama ya nyoka na ushetani inaonesha huna imani kwani hata Mungu kuna wakati alitumia nyoka kuonesha ishara ya ukuu wake. mfano; nyoka wa Musa alietokea baada ya kutupa fimbo chini ambayo yalikuwa ni maajabu ya Mungu