Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,819
Du, pole sana.
Mtafute mtu yeyote ambaye ni pacha,nyoka mbele ya pacha ni kama mbwa mbele ya chatu.
Kaka me ndo niliyemuona nimeamka nikaenda toilet wakati natoka ndo nikapambana nae kasimama kwenye mlando wa chooni akanyanyuka kama anataka kuniuma nikakwepesha mguu nikawahi sebuleni nibebe walau kitu cha kumpigia ss niliporudi kuangalia pale kwenye mlango wa bafuni nikamkosa si ndo hapo purukushani ilipoanzia kaelekea wapi hatujui ikawa ni kuamshana tu ss ndani ili tuanze zoezi la kumtafuta!
Mkuu hapo kwenye red!! Kuna nyoka ambao wao ni washambuliaji si mpaka umpige au umkanyage. Mfano mzuri kabisa ni black mamba (jina la kiswahili limenitoka) yeye huwa akikuona anakushambulia tu na ana uwezo wa kushambulia adui mia moja na kuwaua kwa wakati mmoja. It is the most poisonous snake ever.
hapana kaka hapa acha uongo nyoka wanajuaje kama ni pacha au la yule si mdudu tu duh jamaa kwa nondo!Mtafute mtu yeyote ambaye ni pacha,nyoka mbele ya pacha ni kama mbwa mbele ya chatu.
pumba 100000000000%
true that..... inategemea unaangaliaje issue
siwezi kuua nyoka huku natuma post jf..........
samahani kama nimekosea ila niliuliza kwenye post yangu ya kwanza, hakuna majirani??? manake the first step would be to reach out to neighbors to kill nyoka, have you ever thought mtu anapost JF huku anatafuta nyoka aliyeingia ndani ya nyumba?mkubwa!....katika hili ujue unakosea sana,toka jana nakwambia.ilitakiwa utoe ushauri kwanza,akisha maliza zoezi lote tena kwa mafanikio,ndio umueleze tatizo ulililoliona.unacho kifanya ni sawa kumkuta mtu kapata ajal na gari yake anaomba msaada wa kupewa huduma ya kwanza,unaanza kumshambuli eti kwanin ulikua speed.kubali kama umekosa
mkubwa! Hapo kwenye red ndio jambo la msingi,unafaa kuwa kiongozi hapo kwenye blue elewa jamaa alikuwa kadata,na huwenda kwakua ilikua ni siku ya kaz,mahouse girl ndio walijaa tusamahani kama nimekosea ila niliuliza have you ever thought mtu anapost JF huku anatafuta nyoka aliyeingia ndani ya nyumba?
Mhhh we jamaa muongo wewePole mzee sasa ni hv... Kwanza unatema mate ili yeye asikutemee, afu unachukua kanga, kitenge au taulo unaviringisha kama kata ili asiweze kukimbia abaki pale pale alipo! Ndipo umtafte! Ukshndwa N-pm nije nimkome Nyani.
Ngoja nimtafutie namba ya peter au paul wa psquareMtafute mtu yeyote ambaye ni pacha,nyoka mbele ya pacha ni kama mbwa mbele ya chatu.