Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Hii ni njaa au umaarufu??
Hii ni njaa au umaarufu??
Heshima kwako Ngoshwe.
Umeuliza swali zuri ingawa nimeona wanajamvi wamekupa wajibu mepesi pengine kwa kukufurahisha au kutokujua.Huyu ni nyoka aina ya chatu na kwa kweli huo ni mloo wake wa kawaida kabisa.Kwanza anaanza kwa kukamata windo lake halafu anakubana kwa kujisokota kwenye mwili wa mnyama ili kukuvunja vunja na baadae anakumeza taratibu.Baada ya hapo atakaa muda mrefu sana bila kula chakula chochote sikumbuki vizuri lakini anaweza kukaa hata miezi mitatu.
Ukifanya mahesabu ya haraka haraka kuanzia muda anaochukua baada ya kula chakula mpaka siku atakapotafuta chakula kingine kwa kweli hakuna kitu cha hajabu.
Duh mbona una experience hivo, uliwahi kuliwa nini
Heshima kwako Ngoshwe.
Umeuliza swali zuri ingawa nimeona wanajamvi wamekupa wajibu mepesi pengine kwa kukufurahisha au kutokujua.Huyu ni nyoka aina ya chatu na kwa kweli huo ni mloo wake wa kawaida kabisa.Kwanza anaanza kwa kukamata windo lake halafu anakubana kwa kujisokota kwenye mwili wa mnyama ili kukuvunja vunja na baadae anakumeza taratibu.Baada ya hapo atakaa muda mrefu sana bila kula chakula chochote sikumbuki vizuri lakini anaweza kukaa hata miezi mitatu.
Ukifanya mahesabu ya haraka haraka kuanzia muda anaochukua baada ya kula chakula mpaka siku atakapotafuta chakula kingine kwa kweli hakuna kitu cha hajabu.
hapo kwenye nyekundu naomba nikusahihishe kidogo, anapojisokota sio kama anakuvunjavunja, ila anachofanya ni kusense jinsi unavyopumua, kwa hiyo kila unapota hewa nje yeye anabada kidogo, inafikia point anakuwa amekubana kabisa kiasi kwamba kunakuwa hakuna space ya hewa kwenye mapafu yako na unakufa kwa kukosa hewa, nadhani hata ukiangalia hiyo picha utaona huyo kangaroo bado anaonekana na kitambi chake kama kawaida, kwa hiyo amekufa kwa kukosa hewa baada ya kubanwa sana. maelezo mengine nadhani ni sahihi