kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Katika hali isiyo ya kawaida, nyoka amefariki baada ya kumgonga kwenye matiti mrembo wa Israel anayesifika kwa matiti makubwa duniani.
Nyoka huyo alifariki kutokana na sumu ya silikoni kwenye matiti ya kutengeneza ya mrembo wa Israel, Orit Fox.
Mrembo Orit alikuwa kwenye shughuli ya kupiga picha za urembo akiwa anamchezea nyoka huyo na kupiga naye picha katika mapozi mbalimbali.
Video ya tukio hilo ambayo imewekwa kwenye mtandao wa YouTube imekuwa gumzo duniani kiasi cha baadhi ya watu kuweka maoni wakisema "Mungu akulaze pema Nyoka" huku mwingine akiandika "Natamani ningekuwa nyoka".
Video hiyo inamuonyesha mrembo huyo akimchezea nyoka huyo huku akimramba ramba mdomomi na kumzungusha sehemu mbali mbali za mwili wake.
Nyoka huyo aliposogezwa karibu na matiti ya mrembo huyo, ghafla aliyazamisha meno yake kwenye titi la kushoto la mrembo huyo huku akigoma kuliachia kirahisi.
Orit aliwahishwa hospitali ambapo baada ya kufanyiwa uchunguzi na kudungwa sindano za tetenasi aliachiwa arudi nyumbani kwake.
Hali ilikuwa tofauti kwa nyoka kwani siku iliyofuatia alifariki dunia.
Televisheni ya Telecinco ya nchini Hispania iliripoti kuwa nyoka huyo alifariki kutokana na sumu ya silikoni kwenye matiti ya mrembo Orit.
Angalia video za tukio la Mrembo Orit kung'atwa na nyoka.
Nyoka huyo alifariki kutokana na sumu ya silikoni kwenye matiti ya kutengeneza ya mrembo wa Israel, Orit Fox.
Mrembo Orit alikuwa kwenye shughuli ya kupiga picha za urembo akiwa anamchezea nyoka huyo na kupiga naye picha katika mapozi mbalimbali.
Video ya tukio hilo ambayo imewekwa kwenye mtandao wa YouTube imekuwa gumzo duniani kiasi cha baadhi ya watu kuweka maoni wakisema "Mungu akulaze pema Nyoka" huku mwingine akiandika "Natamani ningekuwa nyoka".
Video hiyo inamuonyesha mrembo huyo akimchezea nyoka huyo huku akimramba ramba mdomomi na kumzungusha sehemu mbali mbali za mwili wake.
Nyoka huyo aliposogezwa karibu na matiti ya mrembo huyo, ghafla aliyazamisha meno yake kwenye titi la kushoto la mrembo huyo huku akigoma kuliachia kirahisi.
Orit aliwahishwa hospitali ambapo baada ya kufanyiwa uchunguzi na kudungwa sindano za tetenasi aliachiwa arudi nyumbani kwake.
Hali ilikuwa tofauti kwa nyoka kwani siku iliyofuatia alifariki dunia.
Televisheni ya Telecinco ya nchini Hispania iliripoti kuwa nyoka huyo alifariki kutokana na sumu ya silikoni kwenye matiti ya mrembo Orit.
Angalia video za tukio la Mrembo Orit kung'atwa na nyoka.