Nyleptha Member Jun 19, 2012 69 47 Jun 19, 2012 #1 Hodi jamvini wadau,mgeni naomba kukaribishwa kwa kuchinjiwa kuku na ugali wa nguvu!(joke).
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,026 10,673 Jun 19, 2012 #2 Karibu sana JF mkuu.Kinywaji?
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Jun 22, 2012 #6 mgeni umekuja wageni tutapona, bila shaka umekuja na huyu kuku, haya tumchinje leo nasi tule kuku, karibu saana
mgeni umekuja wageni tutapona, bila shaka umekuja na huyu kuku, haya tumchinje leo nasi tule kuku, karibu saana