Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Duh! Jamaa ana hatari!...
mie ninazo zote 15 nitawawekea nitakapo charge laptop maana nipo village na nategemea umeme wa jua au generator.Mwenye nyimbo zake atuwekee zote tuzisikilize.Zinhamasisha hata tuliolala usingizi.
Muuza sura Baba Kundambanda hauzi mziki na wala si mwanamuziki kwa maana halisi ya mwanamuziki. ni mwanaharakati wa hali ya juu aliejitolea bila malipo.huyu jamaa kama anafanya mziki kazi basi atakufa na njaa!
ziwekeni zote basi.
Jamani kwa kuwa nimeshafahamu namna ya kuattach nyimbo nitafanya hivyo leo hii.tuombe mtandao utulie.
hebu muipate hio
sio kweli.uchaguzi wa diwani kiwalala wameshinda magamba2015,na harakati hizi za Gesi Kwanza,Kusini panakuwa pagumu kwa CCM.LABDA WAIBE KURA.!!!
Hebu fikiria nyimbo hii na zingine zipo kwenye vichwa vya wananchi,siku zinahesabika CCM itabidi wakubali ukweli kuwa wameshindwa kutimiza dhamira ya dhati ya kuleta maisha bora kwa wananchi wa Kusini na Tanzania kwa ujumla.