Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,360
jamani wakuu,, samahanini, pengine ni uelewa wangu mdogo ama sijui ni vipi,, lakini ningelitamani sana kujua maana hasa ya nyimbo za huyu jamaa,,, nimejitahidi mara nyingi kurudia kusikiliza, bado natoka kapa, nikiwauliza ninaoishi nao, bado kapa, sasa pengine ndugu zangu mnaweza kunielewesha maana ya hizi nyimbo. ADELLA na ASANTENI KWA KUJA....