Nyimbo za mapenzi za kibongo

SIWEMA I - Dar International(Marijani)]

Siwema, usinipe mateso ya moyo,
Na sasa nimechoka, ukweli nasemaaa aah,
Nia na madhumuni yako,
nimeshavitambua siwema dada,
Najiepusha nawe, maaamaa ahaaa


Unajitapa, mbele ya rafiki zako,
Kwamba mimi sina la kusema mbele yako,
Umeniweka kwenye kiganja,
Unalotaka, ndilo ninalofanya,
Sababu wewe ni mzuri sana,
Siwezi kupata mwingine kama wewe,
Siwema dada unajidanganya.


Kibwagizo:

Nimezunguka Tanzania Bara aaah
Unguja na Pemba nimefika aaah
Nimewaona warembo wenye sifa aa
Wenye kujipamba wakapambika

Kwa hiyo unielewe hivyo dada

Sibabaishwi na sura aa
Napenda Tabia njema aa

Tabia njema ndiyo silaha kwako

Sibabaishwi na sura aa
Napenda Tabia njema aa

Kila mtu atakupenda dada

Sibabaishwi na sura .....

Usifikiri mimi limbukeni dada

Sibabaishwi na sura aaah

Kweli dada, kweli dada,

Sibabaishwi na sura aaah,
 
Mimi wimbo wangu bora ni 'harusi' wa Patrick Balisidya(RIP),ndo nilifungulia muziki wa harusi yangu miaka hiyo!
 
This comes from the deepest part of my heart (the deepest part of my heart)
This comes from the empty hole in my soul (the empty hole in my soul)
This comes from the highest point of my spirit (spirit)
If you know what I am saying
Then you will feel it (feel it)


WALA SIWAZIKILIZI WAO MM NASKILIZIA UTAM TU

usiwaskilize kina Lizzy, mimi ni sugar coated.
mbona hujamalizia ile part? this come from the deepest..................... naisubiria ujue
 
Can you be my sunshine baby (Nameless)
Can you be my sunshine (Habida)

Lady can I call you baby (Nameless)
call me baby (Habida)
baby can I get your number maybe (Nameless)
maybe (Habida)
nataka tujuane (Nameles)
right (Habida)
nataka tuonane (Nameless)
you say what (Habida)
nataka tuelewane (Nameless)
oooh (Habida)
nataka tupendane (Nameless)
I see you wanting me (Habida)
am wanting you (Nameless)
I see you checking me (Habida)
am checking you (Nameless)
I see you wanting me and baby I think you are fly (Habida)
I see you wanting me (Habida)
am wanting you (Nameless)
I see you checking me (Habida)
am checking you (Nameless)
I see you wanting me and baby I can see it in your eyes (Habida)

CHORUS (Habida)
When I look in your eyes
I see, I see the sun shining bright
Shinning bright
And when I see your smile
I feel, I feel the sunshine
You are my sunshine

Baby allow me to drive you crazy (Nameless)
You can drive me crazy (Habida)
This is meant to be you can't deny this destiny (Nameless)
You don't have to say it twice baby I will be right there (Habida)
And it's crazy how you make me feel from across the room lady (Nameless)
Baby give me your hand I'll take you places you have never been before (Habida)
You don't have to say it twice baby I will be right there (Nameless)
Truly I can see it in your eyes (Habida)

CHORUS
Bridge
Will you be my sunshine (Nameless)
I will be your sunshine (Habida)
Can you be my sunshine (Nameless)
Yes, I will be your sunshine (Habida)
Will you be my sunshine (Nameless)
Yes, I will be your sunshine (Nameless)
Can you be my sunshine (Nameless)
I will be your sunshine (Habida)

CHORUS x2
Will you be my sunshine, lady can I call you baby,
lady can I get your number maybe (Nameless)

 
This comes from the deepest part of my heart (the deepest part of my heart)
This comes from the empty hole in my soul (the empty hole in my soul)
This comes from the highest point of my spirit (spirit)
If you know what I am saying
Then you will feel it (feel it)


WALA SIWAZIKILIZI WAO MM NASKILIZIA UTAM TU

khaa! mkiona sijapost kitu kwa dakika 3 mjue nimezimia kidogo! kuambiwa maneno kama haya na Pearl lazima upoteze faham japo sekunde kadhaa
 
usiwaskilize kina Lizzy, mimi ni sugar coated.
mbona hujamalizia ile part? this come from the deepest..................... naisubiria ujue

This come from the deepest part of my heart...the depest part of my heart!
This comes from the empty hole in my soul...the empty hole in my soul!
This comes from the highest point of my spirit..spiiirit
If you know what i‘m sayin then you will feel it...feel it

Nasinzia nikikuwaza..........
 
This come from the deepest part of my heart...the depest part of my heart!
This comes from the empty hole in my soul...the empty hole in my soul!
This comes from the highest point of my spirit..spiiirit
If you know what i‘m sayin then you will feel it...feel it

Nasinzia nikikuwaza..........

hii akiona CPU lazima kesho tukamzike makaburi ya ifakara. khaaa! nasinzia too darling.
 
kama ni mapenzi ndio haya naona bora nikimbieeeeeeeeeeeeeee,nimechoswha na vituko na vipigoooooooooooooooooo
unajua nilifkiri nimequote post yako? Kumbe nimequote ya Lizzy? hii laptop yangu ni 12 inches basi inanizingua kweli samtaimu.
 
Back
Top Bottom