JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,494
- 7,517
jamani mnakumbuka enzi za chama kimoja wanafunzi walivyobadili nyimbo za chama na kuziimba vingine. mfano ''chai, chapati, maharage, mchuzi vyajenga nchi'' badala ya ''chama chetu cha mapinduzi chajenga nchi''. wakati naanza shule nilijua ndivyo zinavyoimbwa mpaka baadae sana baada ya maticha kupiga mkwara ndio ziliimbwa kwa usahihi. kweli wanafunzi walikuwa wabunifu. je wewe una mfano wowote?