Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,879
- 2,369
HTML:
Kule kuzimu hakuna kombo, tungemkomboa Sokoine
Kule kuzimu hakuna Kombo tungemkomboa na Samora
Nalia eeh nalia mama, nalia Sokoine!
Nakumbuka saana Mlale JKT.....na maeneo muhimu, kama Lundipundipu, Masangu, Lusonga, Chipole etc!
Wapi Embakassy Uwanja wandege, shamba kubwa la mahindi, kupalilia miraba!
Mheshimiwa Sana Mbunge Janet Mhagama, kipindi hicho akiwa ametokea chuo cha Ualimu Korogwe!
Wapi Philipo Maendaenda!...!
Magagula, Lipokela, Kitai etc