Mbona premises hazisupport conclusion?And your take ndio kabisaa haina support ktk ulichoandika juu.Hakuna kipya zaidi aya sababu zilezile walizokuwa wakitumia CCM za "kosa la marehemu", CDM hawanyimwi uhalali wao wa kufanya mikutano na maandamano,na polisi hawana ushahidi wapi CDM walifanya fujo hata siku hiyo?Pamoja na hayo yote pia mwangosi ni mwandishi kwanini walimfanyia hivyo?Au kwa vile alikuwa akichukua matukio yasiyofanana na taswira waliyokuwa wakiitaka?Fall out ya mauaji ya Daudi Mwangosi utazitesa pande zzote zilizo husika kadri mambo yanavyozidi kujitokeza hadharani.
Imeanza kubainika kuwa huu mpango wa M4C sasa ni roller litakalo waathiri waliombele katikati na hata karibu na matukio yake , bila kujali maisha ya mtanzania.
Kulingana na gazeti la Mtanzania leo 29/10/2012,page 14, Mzee Nyimbo aunguruma:
"Nasema bila ya kubabaika na nina uhakika na ninachokisema ni kwamba kwa asilimia 50, mauaji ya mwanangu ambaye pia alikuwa ni rafiki yangu Mwangosi, yalisababishwa na CHADEMA kwa kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kupanga kwenda kuzindua tawi la chama ambalo mimi (Nyimbo) nilikuwa tayari nimekwisha lizindua miezi mitatu iliyopita kabla ya tukio lile,"
"Nyimbo alisema tabia ya viongozi wa kitaifa wa Chadema kutoka makao makuu jijini Dar es salaam kwenda mikoani na kufanya mikutano isiyokuwa na maandalizi ya wenyeji wao, inachangia katika kuzuka kwa migongano isiyokuwa ya lazima kati yao na Jeshi la Polisi na hatimaye vurugu kwenye mikutano ya chama hicho"
My Take
The pandora box is now open.
Inalekea fujo zinazotokea wakati wa mikutano ya M4C is by design, na matokeo ya fujo hizo yanaratibiwa invyoelekea.
Sasa hapo sijui sera ziko wapi za kuigwa.
Huyu dingi anatafuta mtaji wa kisiasa tu ili agombee ubunge 2015 kama mgombea binafsi.
Tawi ni la CHADEMA sasa shida ni nini kwa wao kulizindua hata mara 100.
Mkuu Ritz
Napita tu mengi tutayasikia tusubiri tu!
Chama
Gongo lamboto DSM
kweli hii ndio JF, hakuna aliyeungana na msela hata kdg, sasa hayo matusi sijui mnayatoa wapi.. Tatizo nyie wengi wenu vijana mnaangalia uchama na si mtu kama mtu binafsi. Nyie mnataka mniambie kila mtu wa CDM akigombea tu mnampa? Mnadhani CDM hamna wakuda? Na mtabaki kua wabongo tu, kueni acheni uchama usio wa msingi. Mtu akipost chochote kisichofeva CDM hata ka ni kweli mnatukana badala ya kudiscus na kupata ukweli. Mtaiokoa nchi yenu kwa njia hii? Hamchukui mifano ya elections kama US? Watu wanaangalia capability ya mtu hawaendi ovyo, pamoja na Romney kufisadi kulipa tax when he's a billionaire yet watu bado wanampa kura coz anasera(najua wengi mtabana hapa).