ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,972
- 1,649
Bado naendelea kufikiria kauli ya huyu kikongwe alipoitoa hii
kauli akitetea kwa nguvu zote ile posho ya
200,000/= kwa siku. Huyu mama anaelekea kupata waimu kabisa.
Haiwezekani ashindwe kuongelea namna ya kuwaondolea
watanzania umasikini na shida zao, lakini anatumia nguvu nyingi
kutetea ule upumbavu.
Nadhani ameweka rekodi ya umajinuni kati ya maspika wote walowahi
kuliongoza bunge la jamhuri ya muungano!
NOTE: Bado siamini kuwa hao nusu ya wabunge waliopeleka
mapendekezo ya kujiuzulu ubunge wapo wa upinzani pia. Bila
shaka ni wa CCM na CUF.
kauli akitetea kwa nguvu zote ile posho ya
200,000/= kwa siku. Huyu mama anaelekea kupata waimu kabisa.
Haiwezekani ashindwe kuongelea namna ya kuwaondolea
watanzania umasikini na shida zao, lakini anatumia nguvu nyingi
kutetea ule upumbavu.
Nadhani ameweka rekodi ya umajinuni kati ya maspika wote walowahi
kuliongoza bunge la jamhuri ya muungano!
NOTE: Bado siamini kuwa hao nusu ya wabunge waliopeleka
mapendekezo ya kujiuzulu ubunge wapo wa upinzani pia. Bila
shaka ni wa CCM na CUF.