Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
NN,
Kikwete anampango wa kuwapatia watoto hao wote kompyuta ili wasome kwa amani na utulivu
Kikwete anampango wa kuwapatia watoto hao wote kompyuta ili wasome kwa amani na utulivu
NN,
Kikwete anampango wa kuwapatia watoto hao wote kompyuta ili wasome kwa amani na utulivu
Hivi ni kwa Msaada wa Nchi gani vile maana Ahadi Nyingi ni kwa Msaada wa Wajomba zetu[/QUOTE
Nadhani anategemea zaidi wamarekani. Zile pesa za Millennium Challenge Account alizotoa Bush zimemzengua sana, anafikiri kila kitu kinawezekana. Lakini angalijua tu kwamba hata ile over $ 600m imebakia kidogo kwani sehemu kubwa iko kwenye consultancy walizopewa zaidi makaburu na sehemu kidogo ya nchi itanufaika nayo.
Ila kuna jambo ambalo nimewahi kulishughudia kwa macho na masikio yangu. Consultants wakizungumza haja ya kuhakikisha miradi inayofadhiliwa na MCA kuharakishwa ili ifikapo Uchaguzi mkuu iwe imeanza. Haya yalikuwa kama maagizo kwa hawa, na yanahusu miradi ya Strategic Cities Project (miji saba) na ile ya mabarabara ya kule Mbeya-Mporogosi etc
Bad news to Nyani Ngabu
Kwenye mikutano ya kampeni, JK na CCM yake wanajaza watu si kawaida. Nilikuwa Morogoro jumamosi. Kulikuwa na mkutano hapo jamhuri stadium. Nyomi kwa sana tu. Mtajiju!
Labda tujiulize tatizo ni nini kwetu sisi watanzania, watu tu/wameridhika na hii yali ya maisha, au ni ule mtaji wa Viongozi wetu "Ujinga" kwamba watu hawaelewi/hawaoni uhusiano wa huduma mbovu za jamii na Viongozi wanao-wachagua kupitia sanduku la kura.Kwenye mikutano ya kampeni, JK na CCM yake wanajaza watu si kawaida. Nilikuwa Morogoro jumamosi. Kulikuwa na mkutano hapo jamhuri stadium. Nyomi kwa sana tu. Mtajiju!
Naamini ziko nyigi mno na zina pishana kwa Viwango mlionazo tafadhalini ziwekeni hapa mjadala upate Kucha. Hawa hawana ukuta wala sakafu, Kwa kifupi hii picha inaandika kitabu kinachoeleza wapi Mtanzania anatoka, wapi yupo na Wapi anakoelekea!! Kwa kweli Ishara si Nzuri, ni Hatari hata kutabiri nini kitatokea ndani ya miaka michache ijayo. Tuendelee kujadili.
Bad news to Nyani Ngabu
Kwenye mikutano ya kampeni, JK na CCM yake wanajaza watu si kawaida. Nilikuwa Morogoro jumamosi. Kulikuwa na mkutano hapo jamhuri stadium. Nyomi kwa sana tu. Mtajiju!
Loh!!! haya bana