Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Ni taarifa ya habari sasa hivi,msomaji kasema tumwone Mkapa alivyo hitimisha Kampeni Arumeru' oohoo! Si mara akaibuka Joshua Nasari!
Ni taarifa ya habari sasa hivi,msomaji kasema tumwone Mkapa alivyo hitimisha Kampeni Arumeru' oohoo! Si mara akaibuka Joshua Nasari!
TBC ilikufa kitambo sana.
Ila nimefurahi kutokumuona Mkapa.
Mbona nasari anawatu wachache leo?
tbc wamechoka kuburuzwa kila siku.