Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
<br />Nakwambiaje awamwachi mpaka ujue kinachomfanya atoke kwako hiyo ndio soln ya mwisho <br />
sikuukuu njema na kitimoto njema akikisha mmekipika kimeiva kabisa
<br />
Hivi huyo mwanaume ni Mbwa au binadamu that hajui anachofanya? Mwanaume wa kwangu, if u want to go outside; be my guest si unatumia kidude chako? Haunipi headache wala toothache; sitapoteza my valuable time to think about what u do with kiukuni chako!