Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Wakuu, Nasumbuliwa sana na hawa wadudu. naombeni ushauri wenu, nitumie dawa gani kkuwatokomeza? natumia DOOM, RUNGU mwanzo zilisaidia, lakini sasa hawa mbu nadhani wamevumbua ujuzi mwingine, wanafunua mpaka neti!!! Nataka dawa ya kuwaangamiza kwa sababu zifuatazo
1. Mke wangu atajifungua hivi karibuni, hivyo hatutaki mazoea na MBU.
2. Kutokana na kupenda kukaa barazani, neti hazitatusaidia kitu.
3. Tumezungukwa na miti mingi sana, hivyo jeshi la mbu linapiga mazoezi ya kutosha (wamejazia kama NJIWA!)
Natanguliza shukrani zangu
1. Mke wangu atajifungua hivi karibuni, hivyo hatutaki mazoea na MBU.
2. Kutokana na kupenda kukaa barazani, neti hazitatusaidia kitu.
3. Tumezungukwa na miti mingi sana, hivyo jeshi la mbu linapiga mazoezi ya kutosha (wamejazia kama NJIWA!)
Natanguliza shukrani zangu