Nyeti zingekuwa na Pass word...

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,877
2,758
Hivi mnadhani uumbaji umekamilika? Kwamba Mungu alimaliza kila kitu ile siku ya saba? Kwamba hakuna tena haja ya kumfanyia binadamu marekebisho madogomadogo? Ukiangalia maendeleo ya ubunifu wa vitu kama magari utaona yamepitia hatua nyingi hadi leo hii, na bado uboreshaji unaendelea. Kwa upande wa binadamu, tangu alipopumbwa hivyo alivyo, ndivyo alivyo na atakavyokuwa hadi dahari. Lakini ingekuwaje kama kutokana na purukushani hizi tunazoziona leo za mtindikio wa uaminifu katika mahusiano na hatimaye visa na mikasa, binadamu akawekewa pass word kwenye nyeti ili kuzuia mwingiliano usio rasmi? Hii pass word ifanye kazi tu pale ambapo mihemko ya kimapenzi inaaza ndipo nyeti zijilock kwa namna itakayokuwa muafaka. Hapo ndipo mwenye 'pini' aidha azitaje kimoyomoyo au kwa njia nyingine ili access ipatikane. Hii pini atakuwa nayo mtu mmoja tu. Kama nyeti ni za mwanamke, basi pini awe nayo mwanaume tu bila ya mwanamke kuitambua, and vice versa. Haya marekebisho yangeokoa ndoa nyingi pamoja na kuleta ahueni duniani. Ni rasimu tu
 
Hivi mnadhani uumbaji umekamilika? Kwamba Mungu alimaliza kila kitu ile siku ya saba? Kwamba hakuna tena haja ya kumfanyia binadamu marekebisho madogomadogo? Ukiangalia maendeleo ya ubunifu wa vitu kama magari utaona yamepitia hatua nyingi hadi leo hii, na bado uboreshaji unaendelea. Kwa upande wa binadamu, tangu alipopumbwa hivyo alivyo, ndivyo alivyo na atakavyokuwa hadi dahari. Lakini ingekuwaje kama kutokana na purukushani hizi tunazoziona leo za mtindikio wa uaminifu katika mahusiano na hatimaye visa na mikasa, binadamu akawekewa pass word kwenye nyeti ili kuzuia mwingiliano usio rasmi? Hii pass word ifanye kazi tu pale ambapo mihemko ya kimapenzi inaaza ndipo nyeti zijilock kwa namna itakayokuwa muafaka. Hapo ndipo mwenye 'pini' aidha azitaje kimoyomoyo au kwa njia nyingine ili access ipatikane. Hii pini atakuwa nayo mtu mmoja tu. Kama nyeti ni za mwanamke, basi pini awe nayo mwanaume tu bila ya mwanamke kuitambua, and vice versa. Haya marekebisho yangeokoa ndoa nyingi pamoja na kuleta ahueni duniani. Ni rasimu tu
Nadhani ulimaanisha "alipoumbwa"

Kwa mtizamo wangu, akili alizopewa Mwanadamu zatosha sana!

Lau, kama mtu atampenda mtu asiye rasmi, na LOCK ikafunga, watahangaika wawili hao hadi waisambaratishe hiyo system ya PIN!...

You can take my word to the bank!
 
Hahahha nilishawahiwaza ingekuwaje kama kungekuwa na kubadilishana- mume unatoa chako unamkabidhi mke na mke watoa unamkabidhi mume kila asubuhi kabla ya kutoka kwenda kazini kisha mnarudishiana jioni mkirudi
 
Ni mawazo tu Mkuu.. Lakini tusivuke mipaka tukaanza kumkosoa Muumba.. Yeye alimaliza kila kitu katika uumbaji wake.
 
mbona china kila kitu kinapatikana mkuu!!
kama unataka password, nenda Chuang Chi uone sasa!
 
you are out of your mind. sijui ulitendwa wewe? kwa kifupi kuongea hivyo ni kumrekebisha Mungu na ni kufuru. tubu haraka. pili, usifikirie mambo ya kumbana mkeo kihivyo, password iko moyoni pale atakapokuwa na hofu ya Mungu. utakuwa na amani ya ajabu na hautakuwa na hofu ya kuibiwa kihivyo. sikia?
 
Hahahha nilishawahiwaza ingekuwaje kama kungekuwa na kubadilishana- mume unatoa chako unamkabidhi mke na mke watoa unamkabidhi mume kila asubuhi kabla ya kutoka kwenda kazini kisha mnarudishiana jioni mkirudi
MJ1, sasa maswala mengine ingekuwaje? au kila kitu hadi jioni? maana hapo sasa mchana kutwa hakuna kunywa maji, au? na ingekuwa vipi mtu akisafiri?
 
you are out of your mind. sijui ulitendwa wewe? kwa kifupi kuongea hivyo ni kumrekebisha Mungu na ni kufuru. tubu haraka. pili, usifikirie mambo ya kumbana mkeo kihivyo, password iko moyoni pale atakapokuwa na hofu ya Mungu. utakuwa na amani ya ajabu na hautakuwa na hofu ya kuibiwa kihivyo. sikia?
Weweee! hapa tunapiga porojo tu!!
stuka!!.....acha haraka.
 
Nadhani ulimaanisha "alipoumbwa"

Kwa mtizamo wangu, akili alizopewa Mwanadamu zatosha sana!

Lau, kama mtu atampenda mtu asiye rasmi, na LOCK ikafunga, watahangaika wawili hao hadi waisambaratishe hiyo system ya PIN!...

You can take my word to the bank!

mzee hiyo kitu ya pini ingekuwa inborn kiasi cha kuwa ngumu kuisambaratisha. Pia wadau wasihofu sana kwani ni mitazamo tu ila ingeweza kujenga
 
Hahahha nilishawahiwaza ingekuwaje kama kungekuwa na kubadilishana- mume unatoa chako unamkabidhi mke na mke watoa unamkabidhi mume kila asubuhi kabla ya kutoka kwenda kazini kisha mnarudishiana jioni mkirudi

hiyo nayo ingezua balaa zaidi kwani wanawake wangetaka sana kujaribu ku do ila wanaume wasingethubutu
 
Hivi mnadhani uumbaji umekamilika? Kwamba Mungu alimaliza kila kitu ile siku ya saba? Kwamba hakuna tena haja ya kumfanyia binadamu marekebisho madogomadogo? Ukiangalia maendeleo ya ubunifu wa vitu kama magari utaona yamepitia hatua nyingi hadi leo hii, na bado uboreshaji unaendelea. Kwa upande wa binadamu, tangu alipopumbwa hivyo alivyo, ndivyo alivyo na atakavyokuwa hadi dahari. Lakini ingekuwaje kama kutokana na purukushani hizi tunazoziona leo za mtindikio wa uaminifu katika mahusiano na hatimaye visa na mikasa, binadamu akawekewa pass word kwenye nyeti ili kuzuia mwingiliano usio rasmi? Hii pass word ifanye kazi tu pale ambapo mihemko ya kimapenzi inaaza ndipo nyeti zijilock kwa namna itakayokuwa muafaka. Hapo ndipo mwenye 'pini' aidha azitaje kimoyomoyo au kwa njia nyingine ili access ipatikane. Hii pini atakuwa nayo mtu mmoja tu. Kama nyeti ni za mwanamke, basi pini awe nayo mwanaume tu bila ya mwanamke kuitambua, and vice versa. Haya marekebisho yangeokoa ndoa nyingi pamoja na kuleta ahueni duniani. Ni rasimu tu

je iwapo huyo mmoja atakufa ghafla??
 
duh!!! leo sijui umeamkia wapi????? MJI pia umenifurahisha....we acha tu watu jamani waaminiane tu!!
 
kungekuwa na mita unasoma ujue mwenzi wako kapitia
au kapitiwa na wangapi,pasingekalika.............
 
Hahahha nilishawahiwaza ingekuwaje kama kungekuwa na kubadilishana- mume unatoa chako unamkabidhi mke na mke watoa unamkabidhi mume kila asubuhi kabla ya kutoka kwenda kazini kisha mnarudishiana jioni mkirudi

Mamii hapo unazungumzia simu za mkononi au?
icon10.gif
 
Back
Top Bottom